INTRODUCTION TO ICT: BEGINNER COURSE | JIFUNZE TEHAMA: KOZI KWA WANAOANZA
About Course
Kozi ya Utangulizi wa Tehama (Information and Communication Technology – ICT) imeandaliwa kwa lengo la kuwajengea wanafunzi na washiriki uelewa wa msingi wa teknolojia ya habari na mawasiliano katika dunia ya kisasa. Katika enzi ya kidijitali, ICT imekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku kuanzia elimu, biashara, ajira, afya, hadi mawasiliano ya kijamii.
Kupitia kozi hii, mshiriki atajifunza kwa lugha rahisi dhana za msingi za ICT, ikiwemo maana ya ICT, historia yake, umuhimu wake katika jamii, matumizi ya kompyuta na intaneti, pamoja na fursa za kazi zinazotokana na ICT. Kozi imeandaliwa mahsusi kwa wanaoanza kabisa (beginners), bila kuhitaji maarifa ya awali ya teknolojia.
Mwisho wa kozi, mshiriki ataweza kutumia ICT kwa uelewa, kujiamini kidijitali (digital confidence), na kuchukua hatua za kwanza kuelekea maisha ya kisasa yanayotumia teknolojia kwa maendeleo binafsi na ya jamii.
Course Content
Moduli ya 1: Utangulizi wa Tehama (Introduction to ICT)
-
03:40